Tuesday, August 10, 2010

RAMADHAN KAREEM KWA WAISLAM WOTE NCHINI...



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Al Hajj Dk Amani Abeid Karume akitoa salamu za Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kwa wananchi na waumini wa Dini ya Kiislamu na kuwatakia mafanikio katika ibada hiyo. Picha: Ramadhan Othman wa Ikulu, Zanzibar

No comments:

Post a Comment