Monday, August 16, 2010

VODACOM ILIPOFUTURISHA KARIMJEE


Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, Dietlof Mare (kulia) akikabidhi ndoo ya mafuta kwa waumini wa kiislam


Akinamama wa kiislam wakifuturu sambamba na Mkurugenzi wa Mahusiano na Vodacom Fouandation, Mwamvita Makamba


Walimu na wanafunzi wa madrasa wakiimba qasida kabla ya kufuturu


Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, Dietlof Mare (katikati) akifuturu na waumini wa kiislam


Waumini wa kiislam wakisubiri kufuturu

Hafla hiyo ilifanyika jana jioni kwenye Viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Mufti wa Tanzania, Shehe Mkuu Issa bin Shaaban Simba na Shehe Mkuu wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum.

No comments:

Post a Comment