Friday, August 13, 2010

MIGIRO AMUHANI MAREHEMU MZEE KAWAWA



Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Asha-Rose Migiro (wa nne kulia) Pamoja na familia ya marehemu Rashid Mfaume Kawawa wakiomba dua katika kaburi baada ya kwenda kutoa pole kwa familia hiyo Madale, nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam leo. Kutoka kushoto ni Mke wa Marehemu, Asina Kawawa, Dada wa Marehemu Bi Amina, mtoto wa marehemu Vita Kawawa (wa pili kulia) na Shekhe Abubakar Alli (kulia ambaye ni Imam wa Msikiti wa Kawawa. Picha: Yusuf Badi

No comments:

Post a Comment