Friday, August 6, 2010

KITI CHA KWANZA CHA SPIKA WA BUNGE LA TANGANYIKA LA MWAKA 1962


Hiki ndo' kiti cha kwanza cha Spika wa Bunge ambacho kilitolewa kama zawadi na Bunge la  Uingereza (House of Common) kwa Bunge la Tanganyika mwaka 1962 mara baada ya Uhuru. Kiti hiki kimetumika nchini mpaka mwaka 2005. [Picha: kwa hisani ya Owen Mwandumbya wa Bunge].

No comments:

Post a Comment