Monday, August 23, 2010

JK MBELE KWA MBELE MWANZA

Rais Jakaya Kikwete ameendelea kukusanya pointi muhimu kwa wananchi zitakazomwezesha kuchaguliwa tena kushika wadhifa huo kwa kuendelea na mikutano yake ya kampeni katika wilaya za Serengeti na Sengerema, baada ya kumaliza Mwanza mjini, mkoani humo.



Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwahutubia wananchi katika kata ya Nyehunge jimbo la Buchosa, wilaya ya Sengerema  leo mchana.

No comments:

Post a Comment