Friday, August 13, 2010

MAZIWA HAYA NI HATARI KWA WATOTO!



Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) Hiiti Sillo,(kushoto) akionesha kopo la maziwa aina ya NAN 2 kwa waandishi (hawapo pichani) ambayo ni bandia hayafai kwa matumizi ya watoto. Kulia ni Mkurugenzi wa Usalama wa Chakula Raymond Wigenge. Picha: Yusuf Badi

No comments:

Post a Comment