Tuesday, August 10, 2010

JK AZINDUA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (DART) LEO



Rais Jakaya Kikwete (katikati) akipatiwa maelezo kuhusu ramani ya Miundombinu ya mfumo wa Mabasi yaendayo Haraka (DART) na Mtendaji Mkuu wa Wakala hao Cosmas Takule (kulia) alipozindua Ujenzi wa Miundombinu hiyo, jana eneo la Kivukoni Dar es Salaam. Wa pili kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, William Lukuvi, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Celina Kombani (kushoto) na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia, John McIntire

Photo Source: Sponsor

No comments:

Post a Comment