
Rais Jakaya Kikwete (katikati) akipatiwa maelezo kuhusu ramani ya Miundombinu ya mfumo wa Mabasi yaendayo Haraka (DART) na Mtendaji Mkuu wa Wakala hao Cosmas Takule (kulia) alipozindua Ujenzi wa Miundombinu hiyo, jana eneo la Kivukoni Dar es Salaam. Wa pili kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, William Lukuvi, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Celina Kombani (kushoto) na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia, John McIntire
Photo Source: Sponsor
No comments:
Post a Comment