Friday, August 6, 2010

SHEIN AFUNGUA UJENZI KITUO CHA AFYA BUMBWI SUDI



Makamu wa Rais, Dk. Ali Mohamed Shein, akiweka jiwe la msingi la Ujenzi wa Kituo cha Afya cha Wananchi wa kijiji cha Bumbwi Sudi kiliopo katika Wilaya ya Magharibi Unguja leo. jumla ya shilingi miloni 25.4 zinatarajiwa kutumika hadi kukamilika kwa ujenzi wa kituo hicho. [Picha: Kwa hisani ya Amour Nassor wa VPO]

No comments:

Post a Comment