Thursday, February 23, 2012

DK BILAL ATEMBELEA KIWANDA CHA NYAMA CHA MZINDAKAYA


Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal akisikiliza maelezo kuhusu uchinjaji wa ng’ombe na matayarisho yake hadi kufikia nyama kamili kutoka kwa Meneja wa Kiwanda cha Nyama cha Saafi, Dkt. Engelbert Bilashoboka, wakati alipotembelelea Kiwanda hicho cha Mtazania Mzawa, Dkt.Mzindakaya, kilichopo Sumbawanga, akiwa katika ziara yake ya Mkoa wa Katavi naRukwa jana.


Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal akisikiliza maelezo kuhusu vipimo vinavyotumika kabla ya ng’ombe kuchinjwa kutoka kwa Meneja wa Kiwanda cha Nyama cha Saafi, Dkt. Engelbert Bilashoboka wakati alipotembelelea Kiwanda hicho cha Mtazania Mzawa, Dkt. Mzindakaya kilichopo Sumbawanga wakati akiwa kwenye ziara yake ya Mkoa wa Katavi na Rukwa jana.


Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal akisikiliza maelezo kuhusu matayarisho na ufungaji wa nyama katika mifuko tayari kwa kuuzwa kwa wateja kutoka kwa Meneja wa Kiwanda cha Nyama cha Saafi, Dkt. Engelbert Bilashoboka wakati alipotembelelea Kiwanda hicho cha Mtazania Mzawa, Dkt. Mzindakaya kilichopo Sumbawanga, wakati wa ziara yake ya Mkoa wa Katavi na Rukwa jana.


Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa Kiwanda cha Nyama cha Saafi baada ya kuwasili kwenye kiwanda hicho kilichopo Wilaya ya Sumbawanga jana wakati wa ziara yake ya Mkoa wa Katavi na Rukwa.

Source: VPO

No comments:

Post a Comment