Friday, February 24, 2012

JK AWASILI BOTSWANA KUHUDHURIA SHEREHE ZA MIAKA 50 YA CHAMA TAWALA CHA NCHI HIYO


Rais Jakaya Kikwete akipokewa na Rais wa Botswana, Jenerali Seretse Khama Ian Khama baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Sir Serese Khama jijini Gaberone, Botswana, leo February 24, 2012 kwa ziara ya kikazi ya siku mbili ambapo pia athudhuria sherehe za miaka 50 ya Chama tawala cha Kidemokrasia cha Botswana 'Botswana Democratic Party'


Rais Jakaya Kikwete akitazama ngoma za asili ya Watswana kutoka kundi la Makhirikhiri


Rais Jakaya Kikwete akiwaslimia wananchi wa Botswana.

No comments:

Post a Comment