Nakukaribisha katika Blogu ya Akida uhabarike kwa habari za Kitaifa, Kimataifa, Michezo na Burudani zilizotokea na zitakazotokea... 'be the First to know..!
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi 'Mr Sugu' (wa pili kushoto) na Mkurugenzi wa Clouds Media, Rugemalila Mutahaba, wakipeana mikono Dar es Salaam leo kama ishara ya kupatana na kumaliza tofauti zao zilizotokana na sababu za kimuziki zilizodumu miaka miwili. Wengine ni wapatanishi wa mgogoro huo, Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Emmanuel Nchimbi (kushoto) na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lisu.
No comments:
Post a Comment