Tuesday, February 21, 2012

HATIMAYE SUGU NA RUGE WAPATANA


Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi 'Mr Sugu' (wa pili kushoto) na Mkurugenzi wa Clouds Media, Rugemalila Mutahaba, wakipeana mikono Dar es Salaam leo kama ishara ya kupatana na kumaliza tofauti zao zilizotokana na sababu za kimuziki zilizodumu miaka miwili. Wengine ni wapatanishi wa mgogoro huo, Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Emmanuel Nchimbi (kushoto) na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lisu.

source: anna nkinda

No comments:

Post a Comment