Thursday, February 23, 2012

TANZANIA YASAINI MAKUBALIANO YA UBADILISHANAJI MAHARAMIA NA UINGEREZA




Rais Jakaya Kikwete na Waziri masuala ya Jumuiya ya Madola, Umoja wa Mataifa na Afrika na Mazingira (Parliamentary Under Secretary responsible for Africa, United Nations, economic issues, conflict resolution, and climate change) wa Uingereza, Hendry Bellingham wakishuhudia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe akiweka saini sambamba na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza kuhusu makubaliano kati ya nchi hizo mbili juu ya taratibu za kukabadhiana watuhumiwa wa uharamia na mali zilizokamatwa katika matukio ya uharamia katika bahari kuu leo huko Lancaster House, jijini London.

Source: Ikulu

No comments:

Post a Comment