Rais Jakaya Kikwete akipata dua kutoka kwa mzee wa Kimasai, Mkazi wa Longido, baada ya kupata ulaji wa ng'ombe watano na mbuzi watano toka kwa Rais
Ris Jakaya Kikwete akiteta na Mlemavu wa Macho, Godlisten Ole Olais ambaye anasoma kidato cha pili katika Shule ya Sekondari ya Longido.
No comments:
Post a Comment