Monday, February 20, 2012

JK AZINDUA MRADI WA SERIKALI WA UWEZESHAJI MIFUGO (SEEDSTOCK) LONGIDO

Rais Jakaya Kikwete amezindua Mradi wa Serikali wa Uwezeshaji Mifugo (Seedstock) kwa kaya za wafugaji waliopoteza mifugo yote kutokana na ukame katika msimu wa 2008-2009 na 2009-2010 huko Wilayani Longido mkoa wa Arusha.


Rais Jakaya Kikwete akipata dua kutoka kwa mzee wa Kimasai, Mkazi wa Longido, baada ya kupata ulaji wa ng'ombe watano na mbuzi watano toka kwa Rais


Ris Jakaya Kikwete akiteta na Mlemavu wa Macho, Godlisten Ole Olais ambaye anasoma kidato cha pili katika Shule ya Sekondari ya Longido.

No comments:

Post a Comment