Nakukaribisha katika Blogu ya Akida uhabarike kwa habari za Kitaifa, Kimataifa, Michezo na Burudani zilizotokea na zitakazotokea... 'be the First to know..!
Monday, February 20, 2012
MABONDIA ABDALLAH MOHAMED 'PRINCE NASEM' NA SALEHE MKALEKWA KUCHAPANA FEBRUARI 24
Bondia Salehe Mkalekwa (kushoto0 na Abdallah Mohamed 'Prince Nasem' wakitunishiana misuli wakati wakitambulisha pambano lao la ubingwa wa Kg 67 'Water Weight' litakalofanyika Februari 24 katika ukumbi wa New Kibeta, Mbagala Kuu jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment