Kaimu MKurugenzi Ukaguzi wa Ndani wa Mfuko wa Pensheni wa Utumishi wa Umma (PSPF), Godfrey Ngonyani (kushoto) akikabidhi msaada wa Madawati 60 yenye thamani ya Shilingi Milioni tatu kwa Mjumbe wa Kamati ya Shule ya Msingi Bwilingu, Chalinze Mkoa wa Pwani, Jacklin Kitego. Kulia ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Hanifa Kombo.
Baadhi ya Wanafunzi wa Shule ya Msingi Bwilingu, Chalinze Mkoa wa Pwani wakibeba madawati kyaingiza madarasani baada ya kukabidhiwa na PSPF leo mjini humo.
SOURCE: MHAMILA
No comments:
Post a Comment