Wednesday, February 22, 2012

PINDA AFUNGUA TAWI BARIADI



Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya sh. 5,000,000 kutoka kwa Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa CRDB, Tully Mwambapa kwa ajili ya kununualia magodoro na vitanda katika hospitali ya Wilaya ya Bariadi baada ya kufungua tawi la Bariadi, wakati wa ziara yake mkoani Shinyanga juzi.

source: PMO

No comments:

Post a Comment