Wednesday, February 22, 2012

TRA WAWAPIGA MSASA WAKANDARASI

Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) leo imewapiga msasa wakandarasi nchini kupitia chama chao cha Wakandarasi (CATA).

Mwenyekiti wa Bodi ya usajili wa wakandarasi (ERB), Joseph Tango amesema kuwa sema hiyo ina lengo la kutoa elimu kuhusu kodi mbalimbali zinazotozwa na Mamlaka hiyo kwa wakandarasi hao kwa kuwa wao ni walipaji kodi wakubwa nchini.


Ofisa Mwandamizi wa Elimu Mlipakodi wa TRA, Yeremia Mbaghi akizungumza na wakandarasi (hawapo pichani) wakati wa semina hiyo.


Wakandarasi wakifuatilia kwa makini.


Yeremia Mbaghi akiwaongoza Mwenyekiti wa Bodi ya Usajili wa Wakandarasi, Joseph Tango na Mwenyekiti wa CATA, eng. Davis Baitani kuelekea kupiga picha ya pamoja.


Mwenyekiti wa CRB, Joseph Tango akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa CATA, Lawrence Mwakyambiki kabla ya kupiga picha ya pamoja


Mwenyekiti wa CRB, Mwenyekiti wa CATA na Makamu wake, Ofisa Mwandamizi wa Elimu ya Mlipakodi kutoka TRA wakiwa kwenye picha ya pamoja na Wakandarasi

No comments:

Post a Comment