Wednesday, February 22, 2012

MAKAMU WA RAIS DKT BILAL AZINDUA BWENI LA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA KORONGWEBEACH-WILAYA YA NKASI.

Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal akizungumza na Mkazi wa Kijiji cha Mwamapuli, Yacoub Jilala ambaye ni mlemavu baada ya kumaliza kuwahutubia wananchi wa kijiji hicho alipofika kuzindua ghala la mazao akiwakatika ziara yake ya mkoa wa Rukwa na Katavi, juzi Februari 20, 2012.


Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed GharibBilal akikata utepe kuzindua rasmi jengo la bweni la Shule ya Sekondari ya wasichana ya Korongwe Beach iliyopo Wilaya ya Nkasi wakati akiwa katika ziara yake ya Mkoa wa Rukwa na Katavi, jana Februari 21, 2012. Kulia kwake ni mkewe Mama Asha Bilal.


Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal akiweka Jiwe la Msingi katika jengo la bweni la Shule ya Sekondari ya wasichana ya Korongwe Beach iliyopo Wilaya ya Nkasi, wakati akiwa katika ziara yake ya Mkoa wa Rukwa na Katavi, jana Februari 21, 2012. Kushoto kwake ni mkewe Mama Asha Bilal.

No comments:

Post a Comment