Thursday, February 23, 2012

TBL KUANZA KUTUMIA NEMBO MPYA


Mkurugenzi wa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (kushoto), akipokea mfano wa nembo ya mistari kwenye bidhaa ya Tanzania (BARCODES) kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Sekta Binafsi (TPSF), Godfey Simbeye katika uzinduzi wa nembo hizo, Dar es Salaam jana. TBL ni moja ya kampuni kubwa nchini itakayoanza kutumia nembo hizo za Tanzania zinazotengenezwa na kampuni ya GSI Tanzania National Limited.


Mkurugenzi wa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (kushoto), akizungumza baada ya kupokea mfano wa nembo ya mistari kwenye bidhaa ya Tanzania (BARCODES) kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Sekta Binafsi (TPSF), Godfey Simbeye katika uzinduzi wa nembo hizo, Dar es Salaam jana. TBL ni moja ya kampuni kubwa nchini itakayoanza kutumia nembo hizo za Tanzania zinazotengenezwa na kampuni ya GSI Tanzania National Limited.

Source: Courtesy of TBL

No comments:

Post a Comment