Idrissa anasema kuwa ‘staili yake hiyo imemfanya apate wateja wengi kwa muda mfupi kwani wateja hao hutaka kujua anabeba vitu gani vya ziada na kwa nini avae hivyo. Ndipo hapo wanapojikuta wamenasa na kuanza kununua dvd zake.
Ustadh Idrissa Sadiki Nyambo akipita kutafuta wanunuzi
Anasema kuwa kwa siku mauzo yake hufikia 50,000/- na wakati mwingine hadi 80,000/-.
Huu ndiyo ubunifu ambao Idrissa Sadiki ameufanya na kujikuta maisha yake yanamwendea vizuri.
Mdau akichagua dvd kwa Ustadh Idrissa Sadiki Nyambo
No comments:
Post a Comment