Wednesday, February 22, 2012

ZHAO ZHONGQIU AMUAGA RASMI DK MARY

Aliyekuwa Mwakilishi Mkuu wa Uchumi na Biashara wa watu wa Jamhuri ya China nchini Tanzania Zhao Zhongqiu leo amemuaga rasmi Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji Dk. Mary Nagu baada ya kumaliza muda wake nchini.


Waziri Nagu akiagana na Zhao Zhongqi


Waziri Nagu (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Zhao Zhongqi na Mwakilishi mpya, Lin Zhiyong (kulia)

No comments:

Post a Comment