Wednesday, February 22, 2012

WAKRISTO NA IBADA YA MAJIVU ST. JOSEPH KUJIANDAA NA PASAKA




Sista Anthonia Samba wa Kanisa la Mt. Joseph, Jimbo Kuu la Dar es Salaam akiwapaka majivu waumini wa dini ya Kikristo kuashiria Jumatano ya Majivu jijini leo. Waumini wa dini ya Kikristo wameanza kufunga kwa resima kujiandaa na Sikukuu ya Pasaka.

source: Okanda

No comments:

Post a Comment