Friday, February 24, 2012

DKT BILAL AZINDUA MIRADI MBALIMBALI YA KIJAMII KATIKA ZIARA YAKE MKOANI RUKWA


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiongozwa na Luteni Godfrey Semiono (Mkuu waKambi) kukagua kikosi cha Ulinzi wa Mipaka cha Kasanga kilichopo katika kijijicha Lusambo, pembezoni mwa Wilaya ya Sumbawanga, wakati alipofika eneo hilo kwaajili ya kuzindua maghala ya kuhifadhia bidhaa katika Bandari ya Kasanga janaFebruari 23, 2012, wakati akiwa katika ziara yake ya mkoa wa Katavi na Rukwa.


Makamu wa Rais wa Jamhuriya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na kuwaagawananchi wa Kijiji cha Lusambo waliojitokeza katika mapokezi yake alipofikakuweka jiwe la msingi katika Soko la Kasanga, akiwa katika ziara yake ya Mkoawa Katavi na Rukwa jana februari 23, 2012.





Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitembelea kukagua maeneo ya kufanyia biashara ya baadhiya wafanyabiashara wa samaki katika Soko la Samaki la Kasanga, baada ya kuwekajiwe la msingi katika soko hilo akiwa katika ziara yake ya Mkoa wa Katavi naRukwa, jana Februari 23, 2012.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiweka Jiwe la Msingi katika moja ya jengo kati yamawili ya Maghala ya kuhifadhia Bidhaa yaliyopo katika Bandari ya Kasanga,kijiji cha Lusambo Wilaya ya Sumbawanga, wakati akiwa katika ziara yake ya Mkoawa Katavi003 na 004:- Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitembelea kukagua maeneo ya kufanyia biashara ya baadhiya wafanyabiashara wa samaki katika Soko la Samaki la Kasanga, baada ya kuwekajiwe la msingi katika soko hilo akiwa katika ziara yake ya Mkoa wa Katavi naRukwa, jana Februari 23, 2012.

No comments:

Post a Comment