Tuesday, January 26, 2010

AFRIKA MASHARIKI KUTUMIA SARAFU MOJA

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Diodorus Kamala amesema nchi za Afrika Mashariki zitaanza kutumia sarafu moja baada ya kuoitishwa kwa maazimio kadhaa katika Bunge la Afrika Mashariki.



Waziri Kamala alikuwa akitoa maelezo hayo wakati wa sherehe za uzinduzi wa Mkataba wa Huduma Bora kwa Mteja pamoja na Tovuti ya Wizara hiyo ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 10 ya Jumuiya ya Afrika MAshariki leo jijini hapa Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment