Wednesday, January 27, 2010

BREAKING NEWZZZZ!!! OBAMA ALA KIAPO KUJENGA UPYA UCHUMI WA MAREKANI

Rais Barack Obama wa Marekani amekula kiapo cha kuijenga upya Marekani wakati wa hotuba take ya kwanza ya sikukuu ya Muungano.

Obama ameahidi kupatikana kwa ajira mpya zaidi ya milioni moja ikiwa ni sehemu ya ujenzi wa uchumi huo.


"Mabadiliko bado hayajaridhisha,” Alisema Obama. “Sikubaliani na nchi yangu kuwa katika nafasi hii.”

Rais Obama alirudia karibu mara tatu kauli yake hiyo ya kuujenga na upya uchumi wa hiyo, akisisitiza wazo la ukuaji wa ajira.



Mwaka mmoja baada ya dunia kukumbwa na mtikisiko wa uchumi lakini “bado hali hairidhishi,” Alisema.

No comments:

Post a Comment