Tuesday, January 5, 2010

ANNE KILANGO ATOA TAHADHARI KAMPENI ZA UCHAGUZI 2010

Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango Malecela ametoa tahadhari kwa watanzania kuwa makini na wachafuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali za urais, ubunge na Udiwani katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi Mkuu.

Mama Kilango amesema kipindi hiki ni kigumu kutokana na kila mtu kutaka kuonekana msafi mbele ya jamii ili akubalike na hivyo kutumia fursa hiyo kwa kuwachafua wengine.

"Wananchi wawe makini katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani." Alisema.

No comments:

Post a Comment