Mama Kilango amesema kipindi hiki ni kigumu kutokana na kila mtu kutaka kuonekana msafi mbele ya jamii ili akubalike na hivyo kutumia fursa hiyo kwa kuwachafua wengine.
"Wananchi wawe makini katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani." Alisema.

No comments:
Post a Comment