Friday, January 1, 2010

MSIBA WA MZEE RASHID KAWAWA KATIKA PICHA


Mwili wake ulianza kwa kutolewa katika chumba cha kuhifadhi Maiti, hospitali ya Jeshi ya Lugalo

Kisha Maofisa wa Jeshi waliupakia katika gari maalumu la wazi kuanza msafara kuelekea Karimjee

Msafara ukielekea katika Viwanja vya Karimjee

Wananchi wakiwa wamepanga foleni kutia saini kitabu cha Maombolezo

Wananchi wakipita kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa Hayati, Mzee Rashid Kawawa..

No comments:

Post a Comment