Monday, January 11, 2010

KAMATAKAMATA YA VIBAKA NA WAPIGADEBE UBUNGO BUS TERMINAL KATIKA PICHA


Vijana wa Kova wakipita jirani na Kalandinga lililosheheni vibaka na wapigadebe wa Stendi Kuu ya Mabasi ya Mikoani ya Ubungo baada ya kukamatwa jana

Mpigadebe/ Kibaka wa Stendi Kuu ya Mabasi ya Mikoani ya Ubungo akiingia kwenye Kalandinga huku akimkodolea macho askari baada ya kutiwa nguvuni...

Vibaka/ Wapigadebe wa Stendi Kuu ya Mabasi ya Mikoani ya Ubungo wakiingia kwenye Kalandinga baada ya kutiwa nguvuni na vijana wa Kova katika

No comments:

Post a Comment