
Vijana wa Kova wakipita jirani na Kalandinga lililosheheni vibaka na wapigadebe wa Stendi Kuu ya Mabasi ya Mikoani ya Ubungo baada ya kukamatwa jana

Mpigadebe/ Kibaka wa Stendi Kuu ya Mabasi ya Mikoani ya Ubungo akiingia kwenye Kalandinga huku akimkodolea macho askari baada ya kutiwa nguvuni...

Vibaka/ Wapigadebe wa Stendi Kuu ya Mabasi ya Mikoani ya Ubungo wakiingia kwenye Kalandinga baada ya kutiwa nguvuni na vijana wa Kova katika
No comments:
Post a Comment