Wednesday, January 20, 2010

STANBIC YAPELEKA MMOJA ANGOLA 'CAN'

Benki ya Stanbic Makao Makuu, leo imekabidhi tiketi na fedha taslimu za kimarekani dola 1000 kwa Mshindi wa Shindano la 'Jiunge, Cheza na Ushinde' Bw. Severine Mtikile baada ya kuibuka mshindi wa shindano hilo, jijini hapa.

Bw. Mtikile atakwenda Luanda nchini Angola kushuhudia pambano la Robo Fainali litakalofanyika Jumapili ya wiki hii, akiwa na mwanaye Bryton. Benki hiyo itagharamia gharama zote kuanzia malazi na chakula mpaka hapo mshindi huyo atakaporejea nchini.


Washiriki wa warsha ya siku moja ya mafunzo hayo wakiwa katika picha ya pamoja

No comments:

Post a Comment