Bw. Mtikile atakwenda Luanda nchini Angola kushuhudia pambano la Robo Fainali litakalofanyika Jumapili ya wiki hii, akiwa na mwanaye Bryton. Benki hiyo itagharamia gharama zote kuanzia malazi na chakula mpaka hapo mshindi huyo atakaporejea nchini.
Washiriki wa warsha ya siku moja ya mafunzo hayo wakiwa katika picha ya pamoja
No comments:
Post a Comment