Monday, January 11, 2010

KONSALT YAZINDULIWA RASMI

Kampuni ya Kizalendo ya Ushauri wa masuala ya kitaaluma ya KONSALT imezinduliwa rasmi.

Akizindua Kampuni hiyo Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha uwekezaji Tanzania (TIC), Emmanuel Ole Naiko amesema kuwa watanzania hawana budi kutumia Kampuni za Ushauri wa Kitaaluma kwa ajili ya kuongeza Ufanisi zaidi.

"Mtu mmoja huwezi kujua kila kitu. Maeneo mengine wape wenzako wenye ujuzi zaidi katika maeneo hayo." Alisema.


Meneja Mshauri wa Kampuni ya KONSALT, Dickson Hyera (kulia) akionyesha sehemu za ndani ya Ofisi ya Kampuni yake kwa Ole Naiko..

No comments:

Post a Comment