Monday, January 18, 2010

WIKI YA KIMATAIFA YA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU YAZINDULIWA DAR

Wiki ya Kimataifa ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu imezinduliwa leo Dar es Salaam na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa, Balozi Juma Bakari Mwapachu.

Akizindua wiki hiyo Balozi Mwapachu amewataka wafanyabiashara wakubwa, wafadhili mbalimbali kujitokeza kusaidia tukio hilo kwa lengo la kufanikisha azma hiyo.


Rais wa ISWiT Jokate Mwegelo akisistiza jambo..

No comments:

Post a Comment