Nakukaribisha katika Blogu ya Akida uhabarike kwa habari za Kitaifa, Kimataifa, Michezo na Burudani zilizotokea na zitakazotokea... 'be the First to know..!
Monday, January 18, 2010
WIKI YA KIMATAIFA YA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU YAZINDULIWA DAR
Wiki ya Kimataifa ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu imezinduliwa leo Dar es Salaam na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa, Balozi Juma Bakari Mwapachu.
Akizindua wiki hiyo Balozi Mwapachu amewataka wafanyabiashara wakubwa, wafadhili mbalimbali kujitokeza kusaidia tukio hilo kwa lengo la kufanikisha azma hiyo.
No comments:
Post a Comment