Tuesday, January 12, 2010

WANATAALUMA WAZINDUA KAMPENI YA KITAIFA YA KUCHANGIA WAHANGA WA MAFURIKO

Mtandao wa Wanataaluma Tanzania (TPN) kwa kushirikiana na Mitandao ya www.jamiiforums.com, www.issamichuzi.blogspot.com na Mtandao wa Habari, Burudani na Harakati za Kisiasa wa www.mwanakijiji.com na Push Mobile umezindua Kampeni ya Kusaidia wahanga wa Mafuriko yaliyoikumba meneo mbalimbali ya nchi hapa jijini.

Kwa wale watakaopenda kutoa michango yao kupitia TPN watoe kwa njia zifuatazo:

1. Crossed Cheque, written to: Tanzania Professional Network
2. Bank Deposits or Transfers to: Account Name: Tanzania Professionals Network, Bank Name: CRDB Bank, Bakn Branch: Lumumba Branch, City: Dar es Salaam, Country: Tanzania, Swift Code: CORUTZ TZ, US $ A/C No: 02J1 007 608 900: TZS A/C No: 01J1 007 608 901
2. M-PESA (Vodacom): 0768 777 888
4. Z-Pesa (Zantel): 0773 88 18 88
5. Zaap (Zain) 0784 00 88 99
6. Western Union- Tuma kwa: Mr. Emmanuel Mmari: TPN Finance and Administrative Manager; Dar es Salaam. Tuma Nakala ya MTCN kwa president@tpn.co.tz
7. Fedha Taslimu: Ofisi za TPN- Barabara ya Nyerere: Jengo la TOHS (Dar Group); Ghorofa ya 1, karibu na Radio Tanzania.
8. Kuchangia kupitia makato ya kila siku ya muda wa maongezi: Changia shs 150 kwa siku kwa waathirika wa mafuriko. Tuma sms yenye neno TPN kwenda 15522. Utakatwa shs 250 kujisalili. Kwa Maelezo zaidi wasiliana na 0715 740 047


Mkurugenzi wa Jamii Media inayomiliki tovuti ya Jamii Forum, Maxence Melo (kushoto) akisistiza jambo wakati wa Mkutano na waandishi kuhusu Kampeni hiyo leo Dar es Salaam. Mwingine ni Rais wa Mtandao wa Wanataaluma Tanzania (TPN), Sanctus Mtsimbe

No comments:

Post a Comment