He! umenipiga picha wakati nanyonya? Nami nasherehekea mwaka mpya eti..
Usije dhani amelala huyu, anaomba kwa staili yake mwenyewe anayoijua mwenyewe...
Wazee wa Ngwasuma waliwachizisha mashabiki kinoma mitaa ya Kijiji cha Makumbusho pale..
Huyu ni dadapoa ambaye alikutwa akisubiri wateja eneo la Jolly Club mishale ya saa 7.10 hv usiku
"Ahsante Yesu kwa kunifikisha mwaka 2010..." ndivyo anavyoonekana akiomba dada huyu
Eeh Yesu Nakushukuru kwa kunifikisha mwaka mpya wa 2010..." hawa nao pia walikuwepo...
Uwanja wa Uhuru saa 6.00 wote ulilipuka kwa shangwe na vifijo vya mwaka mpya wa 2010
Watu waliselebuka kwa nyimbo mbalimbali za dini kusherehekea mwaka mpya 2010
Mmetuona jameni? Na sisi pia tupo eenh?
No comments:
Post a Comment