Saturday, January 2, 2010

SAFARI YA MWISHO YA SIMBA WA VITA "MZEE RASHID MFAUME KAWAWA' KATIKA PICHA


Viongozi Wakuu wa Nchi wakisubiri kuswalia jeneza la Hayati Mzee Rashid Kawawa

Jeneza likitoka ndani, Vita Kawawa, mtoto wa Mzee Rashid Kawawa akisaidiana na waombolezaji wengine kulibeba

Baada ya kuswaliwa wanajeshi walilipeleka kaburini...

Mzee Warioba ambaye naye ni Waziri Mkuu wa zamani akiweka udongo katika kaburi la Mzee Kawawa
o
Makamu wa Rais, Dk. Ali Mohammed Shein naye akiweka udongo kaburini

Na hapa ndipo ikawa mwisho wa Safari ya Simba wa Vita, Hayati Mzee Rashid Kawawa... Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi, Amina.

No comments:

Post a Comment