Wednesday, January 27, 2010

HAWA NDIO WAUAJI WA MTOTO WA CHIFU FUNDIKIRA

Hatimaye washtakiwa wa kesi ya mauaji ya mtoto wa chifu, Swetu Fundikira wamefikishwa mahakamani, Kisutu jijini hapa leo.


Sajini Rhoda Robert

Washtakiwa hao ambao ni askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Sajini Rhoda Robert na Koplo Ally Ngumbe wamesomwa mashtaka yao katika siku ya kwanza ya kesi yao mahakamani hapo leo.


Koplo Ally Ngumbe

No comments:

Post a Comment