Nakukaribisha katika Blogu ya Akida uhabarike kwa habari za Kitaifa, Kimataifa, Michezo na Burudani zilizotokea na zitakazotokea... 'be the First to know..!
Wednesday, January 27, 2010
HAWA NDIO WAUAJI WA MTOTO WA CHIFU FUNDIKIRA
Hatimaye washtakiwa wa kesi ya mauaji ya mtoto wa chifu, Swetu Fundikira wamefikishwa mahakamani, Kisutu jijini hapa leo.
Sajini Rhoda Robert
Washtakiwa hao ambao ni askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Sajini Rhoda Robert na Koplo Ally Ngumbe wamesomwa mashtaka yao katika siku ya kwanza ya kesi yao mahakamani hapo leo.
No comments:
Post a Comment