Wednesday, January 20, 2010

MAJAJI WAPIGWA MSASA


Baadhi ya Majaji wa Mahakama Kuu na Makamishna wa Tume ya Kurekebisha Sheria wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa Warsha ya Mafunzo ya siku moja kuhusu Mkataba wa Nyongeza wa Umoja wa Mataifa wa Maputo protocol kuhusu Haki za Wanawake barani Afrika, iliyofanyika leo asubuhi Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment