Wednesday, January 13, 2010

MAREKANI YAMTUNUKU JK TUZO YA MALARIA


Rais Jakaya Kikwete akipokea tuzo maalum ya ubingwa katika mapambano dhidi ya malaria kutoka kwa Mwenyekiti wa Malaria Center ya Marekani, Peter Chernin, wakati Mwenyekiti huyo alipomtembelea Ikulu Dar es Salaam jana

No comments:

Post a Comment