Wednesday, January 13, 2010

TBL YAMWAGA JEZI SIMBA NA YANGA MZUNGUKO WA PILI WA LIGI KUU


Mkurugenzi wa Masoko wa TBL, David Minja (kulia) akikabidhi jezi kwa Mwakilishi wa Simba, Mohamed Mjenga (kushoto) ikiwa ni moja ya vifaa vilivyotolewa na Bia ya Kilimanjaro kwa ajili ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu. Anayeshuhudia ni Mkurugenzi wa Utawala na Uanachama TFF, Mtemi Ramadhani.

No comments:

Post a Comment