Akizungumza na Waandishi wa Habari pamoja na Wafanyakazi wa Kampuni ya Fast Track Tanzania Ltd, ambao ni wakala wa Ndege hizo, Ofisa Mtendaji Mkuu, Don McDonald amesema kuwa abiria hao wanapokuja Tanzania kwa ajili ya kufanya shopping na kufanya shughuli nyingine kama za Kitalii, hutumia ndege zao lakini wanaporudi hutumia mabasi na hivyo kuwapa wakati mgumu katika biashara zao.
McDonald akielezea jambo kwa Wafanyakazi wa Fast Track Tanzania Ltd, na waandishi wa habari leo jijini hapa
No comments:
Post a Comment