Monday, January 25, 2010

VITA YA MAREKANI IRAQ HAIKUWA HALALI- WANASHERIA

Washauri waandamizi wa mambo ya sheria wa Serikali ya Marekani wakati wa vita ya Iraq dhidi ya Marekani wanatarajiwa kutoa maelezo yao baadaye kuwa wanaamini uvamizi wa kivita wa Marekani dhidi ya Iraq haukufuata sheria za Umoja wa Mataifa.



Maofisa hao watatoa ushahidi wao mbele ya Mwanasheria Mkuu mstaafu, Lord Goldsmith kesho (jumatano) pamoja na Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza, Tony Blair siku ya Alhmaisi.

Mmoja wa Wanasheria hao, Sir. Michael Wood Mshauri Mkuu wa Mambo ya Sheria wa Mambo ya Nje atazungumzia uvamizi huo.

No comments:

Post a Comment