Majengo makubwa yakiwamo Hospitali, Hoteli, Jengo la Benki ya Dunia pamoja na Makazi ya Rais yaliharibiwa vibaya na tetemeko hilo ambalo halijawahi kutokea kwa zaidi ya miaka 200.
Wafanyakazi wa huduma ya kwanza wanahofia kuwa mamia ya watu hata kufikia maelfu juenda wakawa wamepoteza maisha katika tetemeko hilo lililotokea katika kipimo cha Richa 7.1
Ilichukua takribani saa moja kwa tetemeko hilo kuharibu vibaya eneo kubwa la mji wa Port-au-Prince, uliopo maili 10 kutoka mji mkuu wa Kisiwa hicho

Wakazi wa Haiti wakikimbia baada ya tetemeko hilo

Moja ya gari likiwa limefunikwa na kifusi baada ya tetemeko hilo
SOURCE: SKY NEWS
No comments:
Post a Comment