
"Ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia yenye namba 409 imepata ajali muda mfupi baada ya kuruka majira ya saa 8.30 usiku ikiwa na abiria 83 wakiwemo wafanyakazi 9 wa ndege hiyo," Kwa mujibu wa taarifa ya ofisa mmoja wa Uwanja wa Ndege wa Lebanon.
"Mashuhuda waliona mpira wa moto wakati ndege hiyo inatumbukia baharini," Aliendelea.
Ofisa huyo amesema kuwa waokoaji walijaribu kufika katika ndege hiyo kuona endapo watafanikiwa kukuta waliosalimika.
No comments:
Post a Comment