Wednesday, January 27, 2010

MGAMBO WANAPOKOLEZA KIPIGO


Wakazi wa Dar es Salaam ambao ni wafanyakazi wa duka la Gulamali Sundries, Yakub Msanga (kulia) na Emmanuel Mbonde wakiwa na majeraha usoni baada ya kudaiwa kupokea kipigo kutoka kwa Mgambo wa Jiji (hawapo pichani) jana katika eneo lao la kazi baada ya kutokea kamatakamata eneo hilo lililopo Mtaa wa Kitumbini na Libya, Dar es Salaam jana. Wakazi hao wanadaiwa kutohusika na biashara za Kimachinga lakini waliambulia kipigo hicho wakati mgambo wakipita kukamata wamachinga

No comments:

Post a Comment