Wednesday, January 27, 2010

RAZA: MWACHENI KARUME

Mwansiasa na mfanyabiashara maarufu visiwani zanzibar, Mohammed Raza amesisitiza kuwa suala la Rais wa Zanzibar, Amani Karume kuongezewa muda ni la wazanzibari wenyewe na hivyo achwe.



Alisema hayo leo alipozungumza na wandishi wa habari katika mkutano uliofanyika ukumbi wa hoteli ya starlight.

No comments:

Post a Comment