Monday, March 9, 2009

BOSI WA IMF AMWAGA MAPESA USWAHILINI...


Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Fedha Duniani (IMF), Dominique Strauss-Kahn akijiandaa kumpatia fedha mmoja wa wafanyabiashara wa chandarua katika soko la Manzese baada ya kununua bidhaa hiyo, leo. Mbali na hapo pia alitembelea katika hospitali ya CCBRT na kuchangia Shs Milioni 6.6. Strauss-Khan yupo nchini kuhudhuria mkutano wa kimataifa kuhusu mabadiliko ya sera za shirika hilo kwa Afrika unaofanyika Dar es Salaam kuanzia leo.

No comments:

Post a Comment