Friday, March 20, 2009

LIPUMBA AKUTANA NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI KUJADILI KUYUMBA KWA UCHUMI WA DUNIA


Mwenyekiti wa chama cha wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba akisisitiza jambo kwa wahariri wa vyombo vya habari (hawapo pichani) wakati wa mjadala kuhusu kuyumba kwa uchumi wa dunia, jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni Mwenyekiti wa Jukwaa la wahariri nchini, Sakina Datoo.

No comments:

Post a Comment