Tuesday, March 24, 2009

SUMATRA YAIPIGA STOP SEAGULL KUSAFIRISHA ABIRIA

Mamlaka ya dhibiti wa usafiri wa majini na nchi kavu (SUMATRA), imeipiga stop meli ya Seagull kubeba abiria mpaka hapo itakapokuwa imefanyiwa matengenezo.

Kwa mujibu wa barua yake iliyoiandikia kampuni hiyo, SUMATRA imesema seagull itaendelea na safari zake tu endapo itaridhishwa na maendeleo ya meli hiyo kupitia kwa mkaguzi alieidhinishwa.


Baadhi ya wafanyakazi wa Seagull wakiengalia sehemu ya meli ya seagull iliyoharibika


Meli ya Seagull ikiwa imetia nanga baada ya kuzuiwa kusafiri


Abiria wa Seagull wakirusha chupa za maji baada ya meli hiyo kupigwa stop kusafiri

No comments:

Post a Comment