Monday, March 16, 2009

Nyamachoma ya Safari yawashika wengi..

Shindano la Nyamachoma na Safari Lager, la Kampuni ya bia Tanzania-TBL, limevuta hisia za wengi baada ya baa nyingi zinazoshiriki kupata wateja wengi wa nyama ukilinganisha na kipindi cha nyuma.



Baadhi ya majaji wakionja nyama katika moja ya baa zinazoshiriki shindano la Nyamachoma





No comments:

Post a Comment