Wednesday, March 18, 2009

'MSINIPIMIE KABISA' -Mwakyembe

Mbunge wa jimbo la Kyela, Dk. Harrison Mwakyembe amevijia juu vyombo vya habari vilivyomwandika kuhusu suala la umilikaji wa baadhi ya makampuni.

"Tena niwaambieni kitu, hiki mlikuwa hamkifahamu kabisa... Mimi nina makampuni, na sio kampuni. Mimi msinifananishe na baadhi ya viongozi wanaotembeza bakuli...' Alisema.


Dk. Harrison Mwakyembe akifafanua jambo kwa waandishi wa habari leo asubuhi

No comments:

Post a Comment