Mama Salma ametoa wito huo leo mchana wakati wa uzinduzi wa siku ya wanawake duniani, katika viwanja vya mnazi mmoja, Dar es Salaam.
"Ninachowausia, achaneni na ngono zembe, wakati wenu ukifika mtafanya mpaka mtachoka", Alisema Mama Salma.
Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete akikata utepe kuzindua siku ya wanawake duniani, viwanja vya mnazi mmoja, Dar es Salaam, leo mchana.
No comments:
Post a Comment